Head

Mapacha Walioungana Kichwani watenganishwa kwa mafanikio KWA MSAADA WA AI

Mapacha Walioungana Kichwani watenganishwa kwa mafanikio KWA MSAADA WA AI Katika mafanikio makubwa ya tiba duniani, mapacha Mercy na Wema kutoka Nigeria waliozaliwa wakiwa wameungana kwenye fuv…

Chanjo ya Kwanza Duniani Iliyobuniwa na AI Yapimwa kwa Binadamu, Je, Itafaulu?

Chanjo ya Kwanza Duniani Iliyobuniwa na AI Yapimwa kwa Binadamu, Je, Itafaulu? Wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Cambridge nchini Uingereza wameandika historia baada ya kutengeneza chanjo ya kw…

Tumbo la Uzazi bandia kwa ajili ya kukuzia Watoto

Tumbo la Uzazi bandia kwa ajili ya kukuzia Watoto Watafiti nchini Japan na nchi nyingine wanaendelea kuendeleza teknolojia ya uterasi bandia (artificial womb) inayolenga kusaidia watoto wanaozal…

Watengeneza Kondomu inayobadilika rangi ili kugundua Magonjwa ya Zinaa

Watengeneza Kondomu inayobadilika rangi ili kugundua Magonjwa ya Zinaa Fahamu kondomu ambayo inaweza kugundua magonjwa fulani ya zinaa kwa kubadilisha rangi, Kundi la wanafunzi vijana kutoka Isa…

Unyanyasaji mtandaoni dhidi ya wanawake Waongezeka duniani kote,AI yahusishwa

Katika dunia ambayo tayari takribani mwanamke mmoja kati ya watatu hupitia ukatili wa kimwili au kingono, kuenea kwa teknolojia za Akili Mnemba AI, kumeongeza kwa kiasi kikubwa wigo, kasi na uka…

ChatGPT yashitakiwa Kusababisha Kifo cha Mtoto

ChatGPT yashitakiwa Kusababisha Kifo cha Mtoto California, Marekani – Wazazi wa kijana aitwaye Adam Raine (16) wamefungua mashtaka dhidi ya kampuni ya teknolojia ya OpenAI na Mkurugenzi wake Mk…

Timu ya wahandisi nchini Japan imeweka rekodi mpya ya kasi ya intaneti duniani

Timu ya wahandisi nchini Japan imeweka rekodi mpya ya kasi ya intaneti duniani baada ya kufanikisha kasi ya 1.02 petabits kwa sekunde, sawa na zaidi ya milioni moja ya gigabits kwa sekunde. Kwa …

Daktari akiwa Marekani atumia roboti kufanya upasuaji kwa mgonjwa aliyeko Afrika

Daktari mmoja huko Florida, Marekani, amefanikiwa kumfanyia upasuaji mgonjwa wa saratani aliyeko maelfu ya maili nchini Angola, Afrika, kwa kutumia roboti. Vipul Patel, mkurugenzi wa matibabu…

Sam Altman afutwa kazi kama Mkurugenzi Mtendaji wa ChatGPT

Sam Altman, Mkurugenzi Mtendaji wa Silicon Valley nyuma ya ChatGPT na GPT-4 inayoendeshwa na akili bandia, amefutwa kazi na bodi ya wakurugenzi ya kampuni hiyo ambayo ilisema imepoteza imani nay…

Load More Posts That is All