Head

TMA yataja chanzo cha mvua zinazonyesha kwa Sasa,baadhi ya maeneo

TMA yataja chanzo cha mvua zinazonyesha kwa Sasa,baadhi ya maeneo Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema, mvua zinazoendelea kunyesha tangu jana katika baadhi ya mikoa nchini zimetokana …

Takribani Watu 36,000 wahamishwa chanzo mafuriko makubwa China

Takribani Watu 36,000 wahamishwa chanzo mafuriko makubwa China Watu wapatao 36,000 wamehamishwa na kupelekwa sehemu salama kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa katika mkoa wa kusini …

Idadi ya watu waliofariki kufuatia mafuriko KENYA imeongezeka hadi kufikia watu 228

#PICHA:Wafanyakazi wa Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya wakiwa katika harakati za uokoaji kufuatia mafuriko. MAMLAKA nchini Kenya zimesema kuwa idadi ya watu waliofariki kufuatia mafuriko…

MVUA kubwa kwenye Mikoa 16 Tanzania bara,chukua tahadhari

MVUA kubwa kwenye Mikoa 16 Tanzania bara,chukua tahadhari . Mikoa hiyo ni Dar es Salaam, Tanga, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Kagera, Geita, Mwanza, Mara, S…

TMA yatoa taarifa ya matarajio ya hali mbaya ya hewa

TMA yatoa taarifa ya matarajio ya hali mbaya ya hewa kwa siku tano kuanzia Jumatano Aprili 24, 2024 saa 9.30 mchana. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa taarifa ya matarajio ya hali m…

Mafuriko yaathiri kaya 29,510 watu 125,668, Morogoro kaya 12,824 watu 51,491 na Mbeya kaya 27, 000 watu 96,000.

SERIKALI imesema wananchi 273,159 hawana makazi kutokana na mvua inayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini. Kadhalika, viongozi wa dini wataondoka leo na treni ya kisasa (SGR) kutoka…

DUBAI; Mvua kubwa ambayo haijawahi kunyesha kwa miaka 75

DUBAI; Mvua kubwa ambayo haijawahi kunyesha kwa miaka 75 #DUBAI: Safari za Ndege zimeahirishwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dubai baada ya Uwanja huo kujaa Maji kutokana na Mvua zilizo…

Uwepo wa Mvua Kubwa,TMA yatoa angalizo

Uwepo wa Mvua Kubwa,TMA yatoa angalizo Tahadhari ya upepo mkali unaozidi kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayozidi mita mbili, imetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya Bahari…

ZAIDI ya kaya 2,500 katika Kata ya Muhoro, wilayani Rufiji, mkoani Pwani zimeathiriwa na mafuriko

ZAIDI ya kaya 2,500 katika Kata ya Muhoro, wilayani Rufiji, mkoani Pwani zimeathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini. Imeelezwa kuwa …

Utabiri wa Hali ya Hewa wa Mwezi,tathmini ya Mwezi Machi na Muelekeo wa Aprili

Utabiri wa Hali ya Hewa wa Mwezi,tathmini ya Mwezi Machi na Muelekeo wa Aprili Dondoo za tathmini ya Machi, 2024 na mwelekeo wa Aprili, 2024: Taarifa hii inatoa muhtasari wa mifumo ya hali ya he…

15 wafariki, mvua zatajwa kiini, wamo watoto

15 wafariki, mvua zatajwa kiini, wamo watoto Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) David Misime. JUMLA ya watu 15 wamefariki dunia kwa kusombwa na maji…

TMA yatoa angalizo la mvua kubwa siku tatu mfululizo

TMA yatoa angalizo la mvua kubwa siku tatu mfululizo Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo kwa wakazi wanaoishi ukanda wa Pwani ya Bahari ya Hindi ukiwamo Mkoa wa Dar es Salaam,…

Mvua kubwa yasababisha Vifo vya takriban Watu 32

Takriban watu 32 wameuawa kutokana na maporomoko ya ardhi Pakistan . Takriban watu 32 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kutokana na maporomoko ya ardhi na matukio ya kubomoka kwa nyumba yali…

Mvua kubwa,mvua za el nino mpaka Aprili: TMA Tanzania

Mvua kubwa,mvua za el nino mpaka Aprili: TMA Tanzania TMA imesema kuna viashiria vya El-Nino kuendelea hadi Aprili, 2024. Dar es Salaam.  Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema bado kuna…

Tahadhari ya Mvua kubwa kwa Siku Tano Mfululizo-TMA

Tahadhari ya Mvua kubwa kwa Siku Tano Mfululizo-TMA  Kama unaishi mikoa ya Morogoro, Lindi, Iringa, Mtwara, Mbeya, Songwe, Njombe na Ruvuma, basi kaa mguu sawa kwani Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanz…

Load More Posts That is All