Head

✍️Author: Dr. Ombeni
🛡️Review: AfyaClass

Utafiti: Kuweka nywele dawa hatari ya kupata Saratani ya Ubongo.

Taasisi ya Utafiti wa Matibabu ya Kenya (Kemri) imegundua sumu ya formaldehyde, ambayo inaweza kusababisha saratani ya ubongo na kudumaza kumbukumbu katika dawa za nywele zinazotumiwa sana. Mtandao wa National umeripoti,

Wanawake wanaotumia dawa za nywele zenye kemikali wanatajwa kuwa katika hatari zaidi ya kupata saratani ya ubongo, kulingana na utafiti huo.

Ripoti hiyo ya ‘Kemri’ inaonyesha kuwa angalau dawa nane za nywele zimeathirika, Kwa mujibu wa mtandao wa Nation.

Research by; Taasisi ya Utafiti wa Matibabu ya Kenya (Kemri)

Via; Mtandao wa National

Source; Bbc

#Reply

#5Replies
🔥 CHAT NASI
Dr. Ombeni Dr. Ombeni
Je, una changamoto yoyote ya Kiafya? Kwa Ushauri & Tiba tuwasiliane. Call (Kawaida) au SMS (WhatsApp): +255 758 286 584