Head

✍️Author: Dr. Ombeni
🛡️Review: AfyaClass

Mtu mzee zaidi duniani afariki Dunia

Maria Branyas Morera, Mhispania mzaliwa wa Marekani anayeaminika kuwa mtu mzee zaidi duniani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 117.

Maria Branyas Morera, Mhispania mzaliwa wa Marekani anayeaminika kuwa mtu mzee zaidi duniani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 117. Morera alitajwa kuwa mtu mzee zaidi aliye hai duniani katika kitabu cha Rekodi za Dunia cha Guinness Januari 2023 baada ya kifo cha mtawa Mfaransa Sister André aliyekuwa na umri wa miaka 118.

#Reply

#5Replies
🔥 CHAT NASI
Dr. Ombeni Dr. Ombeni
Je, una changamoto yoyote ya Kiafya? Kwa Ushauri & Tiba tuwasiliane. Call (Kawaida) au SMS (WhatsApp): +255 758 286 584