Head

✍️Author: Dr. Ombeni
🛡️Review: AfyaClass

Watu wengi wanaoambukizwa HIV hupata dalili ndani ya wiki 2–6 baada ya kuambukizwa, lakini sio wote hupata “mafua” au dalili zozote.

Hali zinavyoweza kuwa:

1.Wengine hupata dalili kama za mafua: homa, maumivu ya kichwa, koo kuuma, uchovu, au tezi kuvimba.

2.Wengine hupata dalili tofauti kama: upele wa ngozi, kuharisha, jasho la usiku, au vidonda mdomoni.

3.Wengine hawapati dalili kabisa kwa miezi au hata miaka......!!!!

Soma hapa Zaidi Dalili Zote za Mwanzo za HIV:

https://www.afyaclass.com/2024/09/dalili-za-ukimwi-jinsi-ya-kugundua-na.html?m=1

#Reply

#5Replies
🔥 CHAT NASI
Dr. Ombeni Dr. Ombeni
Je, una changamoto yoyote ya Kiafya? Kwa Ushauri & Tiba tuwasiliane. Call (Kawaida) au SMS (WhatsApp): +255 758 286 584