Head

✍️Author: Dr. Ombeni
🛡️Review: AfyaClass

Hivi Ukiambiwa Dawa hii kunywa Asubuh na jion maana yake,ni muda gani wa kutumia?

Swali hili Naomba kupata Ufafanuzi..

1 Comments

  1. Muda Sahihi wa kutumia Dawa ni kama ifuatavyo;

    1.Ukiambiwa Kutwa mara 3
    Ni kila baada ya Saa 8 unatumia dawa

    2.Kutwa mara 2 ni kila baada ya Saa 12 unatumia dawa

    3. Na kutwa mara 1 unatumia kila baada ya Saa 24.

    ReplyDelete

Post a Comment

#5Replies
🔥 CHAT NASI
Dr. Ombeni Dr. Ombeni
Je, una changamoto yoyote ya Kiafya? Kwa Ushauri & Tiba tuwasiliane. Call (Kawaida) au SMS (WhatsApp): +255 758 286 584